Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja
Friday, December 22, 2017
Ajira Mpya Walimu Disemba 2017 majina haya hapa
AJIRA MPYA DECEMBER 2017 SEKONDARI BOFYA HAPA
NAPE KICHWA NGUMU. LICHA YA MKWARA WA MAGUFULI AENDELEA KUMKOSOA VYUMA KUKAZA
Tuesday, December 12, 2017
Saturday, September 16, 2017
Saturday, July 15, 2017
Saturday, July 8, 2017
Monday, July 3, 2017
NIKKI WA PILI AYAKOGA MATUSI. SABABU NI NINI INGIA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Hip Hop alivuruga katika mitandao ya kijamii. wananchi wamjia juu kutokana na tweet yake aliyoitweet katika akaunti yake. Msanii huyo ambaye kwa siku za hivi karibu amekuwa mtu wa kutoa nukuu mbalimbali katika akaunti zake za tweeter na instagram kuhusiana na masuala mbalimbali ya kijamii. Zamu hii ilikuwa ni katika elimu. Ni kama ameamua kuwashukia walimu juu ya utendaji wake. Hali iliyowaamsha wananchi na kuanza kumshambulia msanii huyo. Kwa lugha ya mtaani tunaweza kusema msanii huyu ni kama 'ameyatimba'.
Balaa lote hili limejitokeza katika ukurasa wa facebook wa Eat African Radio baada ya kuchukua nukuu hiyo na kuiweka katika ukurasa wao. Sasa komenti za wananchi kwa msanii huyo ni balaa. Kwa kifupi tumekuwekea hapa komenti chache.
Subscribe to:
Posts (Atom)



