Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Friday, June 23, 2017

HAWA NDIO WALIOTETEA UCHOTWAJI FEDHA ZA ESCROW

WALIOTETEA UCHOTWAJI FEDHA
Pamoja na Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti yake juu ya suala hilo ambapo ilijiridhisha kuwa sehemu ya fedha hizo ni za Serikali, baadhi ya wabunge na mawaziri walipinga hatua hiyo na kusema kuwa fedha hizo hazikuwa za umma bali ni mali za IPTL.
Mmoja wa mawaziri waliosimama bungeni kutetea suala hilo ni aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye alizungumza kwa kujiamini kuwa fedha hizo si mali ya umma.

 LUSINDE
Tokeo la picha la lusinde livingstoneMbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), akichangia ripoti hiyo ya PAC bungeni, alisema hata Zitto ambaye ni mwenyekiti wa kamati alipokea fedha kutoka kwa Sethi.
“Zitto ni rafiki yangu mkubwa na aliwahi kunisaidia nilipokuwa na tatizo, lakini katika hili lazima niseme kwamba ulipokea fedha kutoka kwa Sethi, atupe jibu isije kuwa tunakaa hapa kumbe walaji wako wengi. Kwa nini Tibaijuka anapopewa inakuwa fedha haramu, lakini kwa Zitto ni halali?
“Na Zitto anahusika, Kafulila naye anakuja hapa ohh eti taarifa ya siri imevuja tujadili, tujadili kwani ninyi Mungu?” alihoji Lusinde.

 MOHAMED CHOMBO
Mbunge wa Magomeni, Zanzibar, Mohamed Chombo (CCM) alisema: “Nimesikiliza ripoti ya PAC na Serikali, lakini jambo hili lipo wazi kwamba hizi fedha hazikuwa za umma, zilikuwa za IPTL zimelipwa na Tanesco.”

RICHARD NDASA
Tokeo la picha la RICHARD NDASA
Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa (CCM), alisema kumezuka mtindo wa kusingiziana na kwamba wabunge wa aina wamwogope Mungu.
“Tusiwavunje moyo wizara, wamefanya kazi kubwa, tushauri pale kwenye tatizo tuseme sasa fukuza huyu halafu nini kinafuata?
“Tukiwa na utaratibu wa kufukuzana itaendelea hivyo hivyo, tumwogope Mungu, lakini nafsi zetu zitatusuta kwa sababu ya matendo yetu. Hivi sasa kamezuka mtindo wa kusingizia mtu huyu kala, huyu kapewa mtu akipewa asimame hapa aseme amepewa, lakini tusiwasingizie,” alisema Ndassa.


 MARIAM KISANGI
Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Kisangi (CCM), alisema upinzani baada ya kuona kwamba chama tawala kinapeta wakaamua kuwakoroga na Escrow.
“Tuangalie utendaji wa watu na ninawaambia hatoki Muhongo wala Maswi, CCM kitapita na hiyo ndiyo njama zenu upinzani kutukoroga. Mmekaa mkao na CCM inapeta, mkajisemea hawa tuwakoroge na nini ndio mkaja na Escrow mara EPA, nawaambia njama zenu hazisaidii.
“Zile fedha si za umma. Tanesco ina madeni mengi, inadaiwa Sh bilioni 700. Waziri ameeleza vizuri, kwa hiyo tusipotezeane muda hapa,” alisema mbunge huyo. 

SIMBACHAWENE
Tokeo la picha la simbachawene 
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene, naye alitumia mbinu zote kutetea ufisadi huo na wakati mwingine alijenga hoja ili watuhumiwa waweze kupenya.

Sunday, June 18, 2017

RATIBA YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA IV 2017

Tokeo la picha la NECTA

RATIBA YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA IV 2017 LINK HII HAPO CHINI

Sunday, January 15, 2017

MANYONI: NIMEWAWEKEA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2016 YA SHULE ZAIDI YA 20 ZILIZOPO KATIKA WILAYA YA MANYONI. BOFYA HAPA


1.       MWANZI    BOFYA HAPA
2.       MANYONI  BOFYA HAPA
3.       ITIGI     BOFYA HAPA
4.       HEKA  BOFYA HAPA
5.       KILAMATINDE BOFYA HAPA
6.       MLEWA BOFYA HAPA
7.       SASAJIRA BOFYA HAPA
8.       SANJARANDA BOFYA HAPA
9.       KAMENYANGA BOFYA HAPA
10.   MAKANDA BOFYA HAPA
11.   KINTIKU BOFYA HAPA
12.   RUNGWA BOFYA HAPA
13.   IDODYANDOLE BOFYA HAPA
14.   KINANGALI BOFYA HAPA
15.   AMANI GIRLS BOFYA HAPA
16.   ISSEKE BOFYA HAPA
17.   NGAITI BOFYA HAPA
18.   IPAMUDA BOFYA HAPA
19.   MAKURU BOFYA HAPA
20.   MKWESE BOFYA HAPA
21.   ST. JOHN BOFYA HAPA
22.   CHIKUYU BOFYA HAPA
23.   KIZIGO  BOFYA HAPA

MATOKEO YA TAIFA DARASA LA IV 2016 KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA MANYONI NA ITIGI HAYA HAPA. PIA YAPO YA MKOA MZIMA WA SINGIDA



MATOKEO SHULE ZA MSINGI LINK HAPA CHINI



KUANGALIA HALMSHAURI ZINGINE ZA MKOA WA SINGIDA BOFYA HAPA 

KUANGALIA SHULE ZOTE TANZANIA 





MATOKEO YA TAIFA KIDATO CHA PILI 2016 NA DARASA LA NNE 2016 HAYA HAPA


TAZAMA SHULE KUMI BORA KITAIFA NA ZA MWISHO KITAIFA KISHA NIMEKUWEKEA LINK ZA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NA NNE.


KUONA MATOKEO BOFYA LINK HIZI HAPA CHINI

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2016

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2016