Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Sunday, November 29, 2015

JE HILI NI DONGO LA JANUARY MAKAMBA KWA RAIS MAGHUFULI AU WATU WANAPOTOSHA? INGIA HAPA MWANAWANE UONE ALICHOPOST MAKAMBA WATU WALIVYOTAFSIRI NA MAJIBU YA MAKAMBA





πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ MAANA YA IZO PICHA ALIZOPOST JANUARY MAKAMBA

Nyani wawili ni Makamba na JK (kumbuka kwa Makamba kupata ujasiri wa kupost hayo lazima kuna uzito nyuma yake)...binadamu mwenye mkia ni Makufuli...Tafsiri sasa..
Nyani wawili wako pembeni wakimuangalia/shangaa binadamu kujidai nyani na kucheza mchezo wa Nyani bila kuomba ushauri, alafu kwenye makazi/mjini wakati wenye mchezo wapo na ni mchezo wa kuchezwa porini.

Ya pili, hilo ni tusi...anasema walimfanyia kila kitu yeye alitakiwa kuja na kuenjoy the ride, little do they know wanamtandikia nguruwe red carpet...na unajua nguruwe wanavyojua kujigalagaza kwenye matope na hawajui thamani ya chochote..😜😜

! Hizo chain zina wakilisha chama na huyo mtu ni Makufuli.
Anachojaribu kusema chochote atakacho fanya/jaribu kufanya, rangi yoyote atakayo paka...bado amefungwa na minyororo hawezi kutoroka, sana sana ataing'arisha minyororo iliomfunga wakati yeye akiendelea kua mtumwa...😎

Ni kweli kwani hata choice ya Kikwete baada ya Membe kuangukia pua ilikua ni Makamba..lakini Edo akaharibu mchezo wote wakaishia kwa Makufuli wakitwgemea Kikwete ataendelea kua mwenyekiti na atamcontrol...

Ile ya ngazi ina maanisha,
 Mchezo wa porini....mfano wake ni pale unapopewa majina ya wauza madawa na kuwaita chemba hakuna anaejua ulichofanya ukirudi mjini unashusha mkwala mbuzi...😎😎

Ila pia hiyo ngazi inaonyesha mpandaji hatofika anakotaka kufikia nafikiri anamaanisha hiyo ngazi ni system huwezi jitengenezea ngazi bila kuwashirikisha wanasystemπŸ˜ƒ

Ukiangalia post zake zote maana yake ni karibia ile ile..!! Kwani anafeel kua alifanya kazi kubwa sana kwenye kampaini na anahisi kama kwa asilimia kubwa amewezesha Makufuli kua katika nafasi hio. So anaona kama Mheshimiwa kishapata sasa anamuona hafai..ana muignore, as they say alitegemea kua
aziri mkuu.


Mwenyewe Makamba ajibu