Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Sunday, January 15, 2017

MANYONI: NIMEWAWEKEA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2016 YA SHULE ZAIDI YA 20 ZILIZOPO KATIKA WILAYA YA MANYONI. BOFYA HAPA


1.       MWANZI    BOFYA HAPA
2.       MANYONI  BOFYA HAPA
3.       ITIGI     BOFYA HAPA
4.       HEKA  BOFYA HAPA
5.       KILAMATINDE BOFYA HAPA
6.       MLEWA BOFYA HAPA
7.       SASAJIRA BOFYA HAPA
8.       SANJARANDA BOFYA HAPA
9.       KAMENYANGA BOFYA HAPA
10.   MAKANDA BOFYA HAPA
11.   KINTIKU BOFYA HAPA
12.   RUNGWA BOFYA HAPA
13.   IDODYANDOLE BOFYA HAPA
14.   KINANGALI BOFYA HAPA
15.   AMANI GIRLS BOFYA HAPA
16.   ISSEKE BOFYA HAPA
17.   NGAITI BOFYA HAPA
18.   IPAMUDA BOFYA HAPA
19.   MAKURU BOFYA HAPA
20.   MKWESE BOFYA HAPA
21.   ST. JOHN BOFYA HAPA
22.   CHIKUYU BOFYA HAPA
23.   KIZIGO  BOFYA HAPA

MATOKEO YA TAIFA DARASA LA IV 2016 KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA MANYONI NA ITIGI HAYA HAPA. PIA YAPO YA MKOA MZIMA WA SINGIDA



MATOKEO SHULE ZA MSINGI LINK HAPA CHINI



KUANGALIA HALMSHAURI ZINGINE ZA MKOA WA SINGIDA BOFYA HAPA 

KUANGALIA SHULE ZOTE TANZANIA 





MATOKEO YA TAIFA KIDATO CHA PILI 2016 NA DARASA LA NNE 2016 HAYA HAPA


TAZAMA SHULE KUMI BORA KITAIFA NA ZA MWISHO KITAIFA KISHA NIMEKUWEKEA LINK ZA KUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NA NNE.


KUONA MATOKEO BOFYA LINK HIZI HAPA CHINI

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2016

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2016

Friday, January 13, 2017

MAJINA YA WAHITIMU WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI WALIOMBA AJIRA YA UALIMU NA AMBAO NYARAKA ZAO HAZINA SHIDA HAYA HAPA

Ministry of Education, Science and Technology
TAREHE 12/12/2016 WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILITANGAZA KUWA WAHITIMU WA STASHAHADA NA SHAHADA ZA UALIMU KATIKA MASOMO YA SAYANSI (FIZIKIA, KEMIA, BIOLOJIA) NA HISABATI WA MWAKA 2015 WAWASILISHE VYETI VYAO KWA
AJILI YA UCHAMBUZI WA WAHITIMU WENYE SIFA.

WAHITIMU WALIOKUWA NA MAPUNGUFU KATIKA NYARAKA ZAO WANATAKIWA WAWASILISHE TENA. WAHITIMU HAO NI KAMA IFUATAVYO:-
     (1) WALIOTUMA NAKALA ZA “RESULTS SLIPS” AU “ACADEMIC TRANSCRIPTS” BILA NAKALA ZA VYETI HALISI VYA KIDATO CHA 4, 6, STASHAHADA AU SHAHADA
     (2) WALIOTUMA NAKALA ZA VYETI VYA STASHAHADA ZA UZAMILI (POSTGRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION – PGDE) BILA NAKALA ZA “VYETI VYA SHAHADA YA KWANZA PAMOJA NA “ACADEMIC TRANSCRIPTS” ZAKE;
WAHITIMU AMBAO HAWAKUTUMA KABISA NAKALA ZA VYETI VYAO WANAPEWA FURSA YA MWISHO KUTUMA.
WAHITIMU AMBAO NYARAKA ZAO ZILIWASILISHWA MAJINA YAO YANAPATIKANA KATIKA LINK HIZI

Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 13 Januari, 2017 ameyaonya magazeti mawili yanayoandika habari za uchochezi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu : +255-22-2114512, 2116898
Tovuti : www.ikulu.go.tz
Faksi : 255-22-2113425
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Rais wa Jamhri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 13 Januari, 2017 ameyaonya magazeti mawili yanayoandika habari za uchochezi na kupotosha wananchi kwa kuwa vinahatarisha amani ya nchini.

Rais Magufuli ametoa onyo hilo wakati akikagua na kufungua Kiwanda cha Jambo cha kuzalisha vinywaji baridi mkoani Shinyanga.

Rais Magufuli amesema Serikali haitayavumilia magazeti hayo mawili kwa kuandika habari za uchochezi ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi kama ilivyotokea katika nchini ya Rwanda na kupelekea mauaji ya kimbari nchini humo.

''Serikali ya kutumbua majipu haiwezi kuacha kutumbua magazeti yanayofanya mambo ya uchochezi hatuwezi kuiacha Tanzania ikawa dampo la eneo la kuweka maneno ya uchochezi chini ya utawala wangu hilo halitakuwepo kuna magazeti mawili tu kila ukisoma wao ni kuchochea tu ikizungumzwa habari hii wao wanageuza hii nasema na nataka wanisikie siku zao zimeshafika kama wanasikia wasikie wasiposikia  wasisikie lakini magazeti mengine na vyombo vyote vingine vinatoa uchambuzi mzuri sana''.

Rais Magufuli amesema Serikali yake haiwezi kuvumilia kuona amani ya nchi inahatarishwa na magazeti mawili kwani amani ndio chimbuko la maendeleo ya taifa lolote duniani.

Amesema bila kuwepo kwa amani hakuna mwekezaji atakayeweza kuja kuwekeza nchi, hata wawekezaji wa ndani watashindwa na hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Rais Magufuli amesema uwepo wa amani nchini ndio uliowezesha wawekezaji wa Kiwanda cha Fresho cha kutengenezea mifuko ya kubebea bidhaa za chakula nchini na kiwanda cha Jambo cha kuzalisha vinywaji baridi mkoani Shinyanga kujengwa mkoani hapo kwani bila amani visingeweza kujengwa.

Aidha ameitaka Benki ya Uwekezaji Nchini TIB na Taasisi nyingine za fedha kutoa mikopo kwa wawekezaji wanaotaka kuwekeza katika viwanda badala ya kuwakopesha wanasiasa ambao hutumia fedha wanazokopa kwa matumizi yasiyowanufaisha watanzania waliowengi

Rais Magufuli ameupongeza uongozi wa mkoa wa Shinyanga kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo azma ya Serikali ya kutaka Tanzania ya viwanda kwa kujenga viwanda vingi mkoani humo ikiwa ni pamoja na viwanda hivyo viwili alivyovizindua katika siku yake ya mwisho ya ziara mkoani Shinyanga.


Jaffar Haniu
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu
Shinyanga
13 Januari 2017.