Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, November 10, 2014

KUMBE MAWIGI NI MANYOYA YA MBUZI

Nywele bandia ambazo wanawake wanapenda kuvaa siku hizi.
Nchini China nywele za bandia ni biashara kubwa sana , wanunuaji katika maduka ya urembo na saluni huambiwa kuwa nywele hizo ni za kweli, lakini ukiziangalia kwa karibu zaidi, wakati mwingine hazionekani hivyo.
Katika kiiji kimoja, jimbo la Hunan, katikati ya China,Katika mitaa ya kijiji hicho inaonekana kuwa na nywele hizo , baadhi ya nywele hizo ni za kweli lakini nyingine si nywele za binaadamu isipokua manyoya ya mbuzi.
Mtu mmoja anafanya kazi ya kukusanya nywele, anasema anapogonga kengele wanawake hutoka kisha mtu huyo huwakata nywele kwa ajili ya kuuza.Mwenyewe anasema anawapa hela nzuri.
Nywele za bandia zinazoelezwa kuwa za binadamu huchanganywa na manyoya ya mbuzi bila mteja kujua
Baada ya kukusanya nywele,huzipeleka kwenye kiwanda kidogo ambacho kuna wanawake ambao huzitengeneza na kuwa nywele za bandia.
Nikitazama ninaona baadhi ya nywele zinazosukwa pamoja ni za binaadamu lakini nyingine sio kabisa, na mtu huyu huuza nywele hizo kwa viwanda vikubwa ambapo huwekwa dawa za kemikali kabla ya kuuzwwa madukani na nchi nzima.
Nywele hizo hufikishwa mpaka mjini Guazngzhou,mji ulio maarufu kwa shughuli za biashara.
Katika eneo hilo hakuna mteja wa asili ya kichina wanunuaji wengi wanatoka Afrika , Nigeria, Ghana,Congo, Afrika kusini,Angola na Uganda
Chanzo: bbc

Sunday, November 9, 2014

ZITTO KABWE ASHUSHIWA TUHUMA 7, MWENYEWE AZIPANGUA, LENGO NI KUMUONDOA KWENYE MSTARI SAKATA LA WIZI WA MABILIONI YA PESA AKOUNTI YA TEGETA ESCRO


kia sintofahamu kuhusu sakata la IPTL hususani Ile akaunti Ya Tegeta Escrow kushikiliwa Kidete Rangi PAC inayoongozwa Rangi Zitto Kabwe, watuhumiwa wa wizi Huo wamezusha tuhuma kibao kwa Zitto Kabwe ILI kumpunguzia kasi Ya kupambana Rangi wezi Hao, hizi ndizo tuhuma saba (7) ambazo Zitto anazitolea ufafanuzi katika ukurasa wake wa facebook ikiwa Rangi Kichwa cha Habari  Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki" Nasi tumechukua Rangi tunakuletea KAMA ulivyo Bila kuongeza Wala kupunguza Kitu, JISOMEE ​​MWENYEWE


"Zikiwa zimebaki siku chache Kabla Ya Kamati ninayoongoza Ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti Ya Tegeta Escrow, kumekuwa Rangi kampeni za Chini Chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge Rangi kwenye mitandao dhidi Yangu binafsi Rangi baadhi Ya wabunge waliosimama Kidete dhidi Ya wizi Wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti Ya Escrow.

Baadhi Ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya DOLA ILI zichunguzwe Kwani Zina vielelezo vya Latest pa kuanzia (KAMA leseni Ya udereva Ya mwanamke anajulikana KAMA Vivian Sirikwa Emmanuel Rangi MUHURI wa kampuni Ya uwakili inayomilikiwa Rangi Bwana Joseph Mkandege).
Baadhi Ya Tuhuma 
Baadhi Ya Tuhuma


Baadhi Ya tuhuma nitazijibu moja baada Ya moja.
Waziri Mmoja ambaye nai mtuhumiwa wa wizi wa fedha za Tegeta Escrow anazunguka to wabunge akisema tuhuma hizi kupikwa KAMA kutumia kutumia kutumia njia YAKE Ya kuhamisha mjadala kutoka uporaji wa Shilingi bilioni 200 Kwenda kwenye masuala binafsi.

Tuhuma hizi zenye Kichwa cha Habari "Zitto Rangi Filikunjombe wanatumiwa Rangi Kenya Rangi Uingereza kuvuruga Rangi kudhoofisha Uwekezaji nchini mwetu" zinajibiwa HAPA Chini. Utaona Ndugu Filikunjombe ametajwa to Kichwa cha Habari ILI kumtaja Tu Bila Sababu yeyote Ile.

Tuhuma # 1:
Zitto anaye Rafiki YAKE Mkenya aitwae Rapahel Ongangi ambao to PAMOJA wameanzisha Gombe Washauri Co Ltd (iliyosajiliwa tarehe 24 Novemba 2011, Cheti No 87,387) to ajili Ya kufanya biashara Rangi Makampuni Ya Gesi Rangi Mafuta yanayofanya Kazi nchini HAPA.

Majibu:
Gombe Washauri nai kampuni binafsi isiyofanya Faida yaani 'Company Limited Rangi Dhamana'. Haina Kazi Rangi kampuni yoyote Ya Gesi Rangi Mafuta Rangi Wala yenyewe haijuhusishi Rangi biashara hiyo. Gombe washauri haijafanya Kazi yoyote Ile Rangi kampuni Nyingine Zaidi Ya kusaidia wasanii wa kundi la Kigoma All Nyota. Upotoshaji HAPA unalenga kupindisha mjadala.
Tuhuma # 2:
Zitto amemsaidia Ongangi kupata Uraia wa Tanzania Rangi to Sasa nai raia wa pasipoti. Zitto Rangi Ongangi walimtafutia Mkurugenzi Mtendaji wa Shell aitwae Axel Knospe Nyumba Rangi Gari Ya kukodi.
Majibu:
Raphael nai mwavuli binafsi ambaye anafanya shughuli zake nchini HAPA, amesoma HAPA nchini Rangi ameoa Rangi ana Mtoto. Tuhuma hizi hazina Msingi wowote ule maana nai uwongo. Wanaotoa tuhuma hizi waonyeshe hiyo pasipoti Ya Bwana Ongangi kuthibitisha Madai Yao.

Tuhuma # 3:
Mikataba Ya Statoil iliyokuwa inarushwa kwenye mitandao Ya Jamii Rangi kuchapishwa kwenye magazeti Ya Kenya Ya HAPA nchini (Citizen Rangi Mwananchi) mwandishi mkuu alikuwa Mkurugenzi Mtendaji huyo wa Shell.

Majibu:
Mkataba uliovujishwa wa Statoil ulivujishwa Rangi waandishi wa habari wa Norway. Uchambuzi wa mkataba Huo nimeufanya mwenyewe to kutumia utaalamu Wangu niliosomea wa kuchambua mifumo Ya Kodi kwenye sekta Ya mafuta Rangi gesi. ILI namna yoyote Ile, huyo anayetajwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Shell Ya Ya Ya hahusiki. Tuhuma hii wanaoitoa watoe Ushahidi usio Rangi chembe Ya Mashaka.
Ikumbukwe kuwa mkataba wa Statoil utaipotezea Tanzania mapato Ya DOLA za Marekani bilioni 12 (takribani Shilingi 20,400,000,000,000 / =) katika kipindi cha miaka 15 baada Ya gesi kuanza kuchimbwa.
Uamuzi wa Kamati Ya PAC kutaka mikataba yote Ya Gesi kuwa wazi Una kuamini katika Sisi wenyewe la kuchambua kuona KAMA mikataba yote nchini haipotezi mapato to nchi. Uamuzi Huo umewakasirisha Sana baadhi Ya waliohusika kuingia mikataba Serikalini maana wanajua KUNA madudu kwenye mikataba Rangi wanataka umma wa watanzania usijue!

Tuhuma # 4:
Kampuni Ya SHELL imechukizwa Sana kucheleweshwa to kupata kibali cha kutafuta gesi Rangi mafuta kule Pemba. Vilevile SHELL Haina uwekezaji mkubwa Tanzania Bara Kwani ilishindwa kwenye tenda zenye vitalu vyenye gesi nyingi upande wa Bara.

Majibu:
Ukweli nai kuwa Kampuni Ya Shell mmojawapo vitalu 4 Huko Zanzibar Rangi tayari mmojawapo makubaliano Rangi Serikali Ya Zanzibar kuhusu Utafutaji mafuta Huko katika vitalu namba 9,10,11 Rangi 12. Shell inafanya Kazi Rangi kampuni Ya Petrobras Ya Brazil kwenye kitalu namba 6 Rangi namba 8 . Taarifa hizi zipo wazi kwenye tovuti Ya TPDC. Tuhuma nyepesi namna hii dhidi Ya kampuni Kubwa KAMA Shell zinaonyesha dharau Rangi kiburi kinachotokana Rangi uelewa mdogo wa Mambo wa watu wanaotuhumu.

Tuhuma 5:
Ongangi anapokea maelekezo kutoka Serikali Ya Kenya kuhujumu uwekezaji nchini mwetu.

Majibu:
Nazifahamu Mbinu nyingi zinazotumika kufanya propaganda, lakini Mbinu hii imeshindwa ikiwa mapema Sana. Ni vema wanaotoa tuhuma hizi wazithibitishe vinginevyo nai mwendelezo wa propaganda zisozingatia diplomasia Ndani YAKE dhidi Ya jirani zetu wa Kenya. Hizi nai propaganda Hatari ambazo Hata Hao wanaotuhumiwa wakisikia watatudharau Sana.

Tuhuma # 6 (Juu Ya Uingereza):
Uingereza imekuwa inamfadhili Zitto to miaka mingi to Mambo YAKE Ya kisiasa to hiyo Sasa hivi Ubalozi wa Uingereza unamlipa Zitto Rangi Kafulila kuhakikisha kwamba Standard Chartered Ya Uingereza inalipwa Deni ziwa lisilotambulika kisheria nchini mwetu.

Majibu:
Nimetangulia kusema hapo Awali kuwa KUNA propaganda ambazo haziangalii Hata diplomasia, Nyingine nai hii. Pamoja Rangi kukanusha uzushi Huu, nai Vizuri wanaotoa tuhuma za namna hii kuthibitisha. Mimi binafsi sijawahi kufadhiliwa kisiasa Rangi Taifa lolote Lile. Inaelekea KUNA wanasiasa wanaofadhiliwa Rangi mataifa mengine ambao kwakuwa kwao ndiyo Maisha wanaamini Rangi wengine tupo KAMA walivyo.
Kwangu itikadi Yangu nai 'Uzalendo to nchi Yangu', nai Jambo ambalo Halina mbadala wake. Siku zote nasema "Haki AU Makosa, nchi Yangu Ya Kwanza".
Kurudia kurusha tuhuma to Ubalozi wa Uingereza nchini nai kudhihirisha to Mara Nyingine kiburi cha kuwa Rangi mamlaka (kiburi cha nguvu) walicho nacho wanaotuma tuhuma hizi.
Aidha, wanatuhumu kuwa "Kafulila Rangi Zitto wamehaidiwa 15% Ya USD 150 milioni KAMA Deni likilipwa"
Mtanzania anayeweza propaganda dhaifu KAMA hizi Ya Ya ya basi anatakiwa ajitafakari. Hata hivyo nai vema wanaotoa tuhuma hizi wathibitishe Bila chembe Ya Mashaka.

Tuhuma # 7:
Mbunge Mkono Nae ameshikwa hasira kupoteza Kazi Ya uwakili rangi TANESCO. Kafulila Rangi Zitto wanalipwa Rangi Mkono kuvuruga Serikali to hasira za kukosa fedha za kitapeli za TANESCO.

Majibu:
Hizi nai tuhuma ambazo Sasa tumezizoea kutolewa. Mambo mepesi hayawezi kujibu Mambo Ya Msingi KAMA tuhuma za wizi wa fedha Zaidi Ya Shilingi bilioni 200 kutoka Benki kuu ya Tanzania. Kukusanya KILA propaganda ILI kuuhamisha umma nai kupungukiwa hekima Rangi Busara.
Aidha, wanaotuhumu wanadokeza kuwa "naomba tuwe macho Rangi Wabunge wetu achananeni Rangi Madai Ya Zitto Ya wizi. Huyu mwavuli anafanya biashara Rangi Kampuni Ya Shell Rangi inasemekana analipwa Rangi Ubalozi wa Uingereza. Serikali Ya Kenya Rangi tapeli mkubwa Mbunge Mkono Nae anawalipa Zitto Rangi Kafulila" .

Watanzania, Haya nai Maneno Ya hasira Ya watu wanaokaribia kukamatwa to kushiriki wizi wa fedha katika Benki kuu ya Tanzania. Kamwe tuhuma hizi haziwezi KAMA kutukatisha tamaa katika kupambana ILI Ukweli ujulikane. Sisi tutapigana to ajili Ya Taifa, to ajili Ya Mtanzania Rangi tunachotaka nai Umma uujue Ukweli wa Mambo.

Hasira hizi zinatokana Rangi Mambo mawili:
Moja nai uamuzi wa Kamati Ya PAC kuwasweka Ndani baadhi Ya watendaji wa TPDC to kushindwa kutekeleza maamuzi yanayohusu Ya Kamati Uwazi wa mikataba Ya Gesi Rangi Mafuta.

Pili, nai uamuzi wa PAC kuagiza ukaguzi maalumu wa mchakato Mzima ambazo ambazo ambazo wa kuanzishwa Rangi kufungwa to akaunti Ya Tegeta Escrow ambapo Zaidi Ya Shilingi bilioni 200 ziliporwa Rangi Zaidi Ya Shilingi bilioni 12 zinalipwa Rangi TANESCO KILA mwezi Kwenda kampuni Ya BA inayomilikiwa Rangi Harbinder Singh Sethi (50%) Rangi watu wasiojulikana kupitia kampuni Ya Simba Trust iliyosajiliwa Rangi kufichwa nchini Australia (50%).

Ieleweke kuwa BA inalipwa Shilingi milioni 400 Kila Siku kutoka TANESCO izalishe AU isizalishe Umeme! Watanzania, BA itaendelea kulipwa namna hiyo to miaka 20 ijayo. ILI namna ambayo Seth analindwa Rangi baadhi Ya watendaji Serikalini Rangi Hasa Ndani Ya Wizara Ya Nishati Rangi Madini. Aidha, KUNA fununu kuwa KUNA maofisa serikalini wanaomiliki hizo 50% kampuni za Ya BA. Seth Ya Ya ya pia anamiliki kitalu cha gesi Ya Mnazi Bay Kaskazini kupitia kampuni Ya HydroTanz.

Hasira hizi walizo nazo wanaonituhumu Rangi Kamati Yangu zimewapelekea kugushi nyaraka mbalimbali zinazonituhumu Mimi Rangi wenzangu ILI kutuogopesha Rangi kutukatisha tamaa katika kutafuta Ukweli Juu Ya suala la uporaji wa fedha kutoka Benki kuu. Kuamini katika Sisi wenyewe lao nai kututoa kwenye mstari. Mimi Rangi wenzangu hatutatoka kwenye mstari, tutashirikiana Rangi wabunge wenzetu kuhakikisha Ukweli unajulikana Rangi wezi kuchukuliwa hatua Kali.

Harbinder Singh Sethi aliiangusha Serikali Ya KANU nchini Kenya, Sasa anachotaka kukifanya kinaweza kuiangusha Serikali Ya CCM wakiendelea kumkumbatia.

Watanzania Sio mabwege!
Zitto Kabwe
Mwenyekiti PAC
Dodoma, 9 Novemba 2014 "

Wednesday, November 5, 2014

MATOKEO YA MTIHANI DARASA LA SABA 2014


Matokeo ya darasa la saba yametoka, kuyaona bofya link hapo chini chagua mkoa shule inapopatikana kisha wilaya baada ya hapo utachagua shule unayoitaka hapo utakuwa umepata matokeo

                                  KUONA MATOKEO DARASA LA SABA BOFYA HAPA

MATOKEO DARASA LA SABA 2014 KWA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MANYONI, SAYUNI YAIBUKA KIDEDEA


Matokeo ya mtihani wa darasa la saba yametoka huku shule ya msingi Sayuni ikiendelea kupeta, katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani nchini inaonesha kuwa Shule hiyo ya Sayuni imeshika nafasi ya kwanza kiwilaya kati ya shule 102,  kimkoa inashika nafasi ya pili kati ya shule 491 wakati kitaifa shule hiyo imeshika nafasi ya 456 kati ya shule 15867.

                  KUONA  MATOKEO DARASA LA 7 2014 SHULE ZA MANYONI BOFYA HAPA

Sunday, November 2, 2014

MAKONDA ATUMIA VIJANA KUVURUGA MDAHALO WA KATIBA, WENZAKE WAMFANYIA MBAYA KAMA ATARUDIA TENA BASI NI SIKIO LA KUFA


Katika tukio hilo PAUL MAKONDA chuchupu kuangukia katika mikono ya watu wenye hasira mara baada kukimbilia kujisalimisha kwa Jaji Warioba ili asidhurike na watu hao waliokuwa na hasira kama watu kama mbogo mbogo aliejeruhiwa.

Mara baada ya kutokea vurugu hizo, Prof. Kabudi alimfuata Makonda na kumuambia kuwa anachokifanya siyo atakuja kuumia, katika hali ya kujitetea Makonda alidai kuwa amekoja mwenyewe wala hakuja na kundi hilo la watu.

Vijana hao walionekana kuwa wamelewa kutokana na harufu walizokuwa wanazitoa midomoni mwao wakati wakipiga kelele wanadaiwa kuwa waliletwa na Makonda ambaye ilibidi akimbilie katika kibanda kimojawapo kilichomo ukumbini hapo ili kunusuru maisha yake, "kama siyo jitihada za Humphrey Polepole na Said Kubenea kuwatulia raia waliokuwa na hasira kali leo hii kwa Makonda tungekuwa tunasimulia habari nyingine, kwani alichofanyiwa Makonda na baadhi ya vijana hapo ukumbini kama atarudia tena kufanya tukio kama hilo basi jamaa ni sikio la kufa," Alisikika kijana mmoja ambaye anadai alimbana Makonda kisawasawa.

Kijana huyo mwenye siasa tata huku ndani ya CCM akipambana kumchafua Lowasa na nje ya CCM anapambana kumchafua Warioba aliokolewa na Jeshi la Polisi ambao kabla ya kumtoa ndani ya kibanda alichojificha iliwabidi wawasogeze watu mbali na eneo ili wasije wakamgeuza nyama Kijana huyo aliyekuwa ameongazana Amon ambaye naye alikuwa Mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka katika Kundi la watu wenye ulemavu.

Watu kama wawili watatu hivi  walijeruhiwa katika tukio hilo, huku mmoja wa vijana waliokuja na Makonda ukumbini akiponea chupuchupu baada ya kuokolewa na jesshi la Polisi nje ya ukumbi.



GODBLESS LEMA (Kupitia ukurasa wake ameandika hivi kuhusiana na vurugu hizo)

Tokea nizaliwe sijawai kukasirishwahivi kama nilivyokasirika leo na jambo la huyu muhuni Makonda kumpiga na chupa mzee warioba ni kukosa heshima kukosa akili na ustaarabu ni upumbavu .ushenzi na uhuni wa hali ya juu

kitendo cha ccm kuwatuma wahuni wa chuo cha diplomasia kumshambulia mzee warioba ni dalili tosha ya kushindwa kwa utawala kama judge ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu na vilevile ni kada mkubwa ndani ya ccm anatendewa uhuni huu wewe mtanzania wa kawaida watakufanya nini??? mti mbichi unatendwa hivi mti mkavu je...
.ni wakati sasa wa watanzania kujiuliza hii katiba PENDEKEZWA inayo siri gani ambayo ccm hawataki wananchi tuijue???? kwanini wanatumia nguvu nyingi kutunyamazisha??? kwanini hawataki tuijadili????? kwanini hawataki wananchi waelimishwe???hii ni karne ya 21 ni karne ya kubishana kwa hoja sio karne ya matusi na vurugu mjibuni warioba na tume yake kwa hoja simlisema mnauhakika na katiba "pendekezwa"imezingatia matakwa ya wananchi sasa wanaogopa nini???mbona nyie mkifanya makongamano yenu hakuna mtu anayewaingilia???

tuacheni tupate elimu juu ya katiba tunayoitakaninatoa rai kwa kila mzalendo wa taifa hili kukilaani kitendo cha muhuni makonda kumpiga mzee warioba na laana ya mungu ishuke juu yakeShame on you makonda‪#‎ALAANIWE_MAKONDA




PETER MSIGWA (Katika ukurasa wake wa facebook naye ameandika hivi)
"Nilikuwa ndani ya ubungo plaza ,niliwaona vijana wengi waliobeba mabango hawakufika hata hamsini . Wengi wao ni chini ya miaka 18,' walikuwa na Amon Yule mlemavu wa macho na Paul makonda. Nilichokiona ni ni upuuzi ujinga,mkubwa , vijana wale hata hawajui wanachokifanya,
Akili ndogo ndio imetamalaki ....shame on you CCM".


Hapo Makonda mwenye shati jeupe katikati aking'ang'ania mkono wa Mzee Warioba ili kujinusuru na kipigo cha wananchi maana kabla ya hapo alikichezea haswaaaa
 
                                         Mzee Warioba akitolewa ukumbini na wanausalama 



Baadhi ya vijana wanaodaiwa kutumika na CCM wakiwa na mabango yao huku wakizomea

ZITTO KABWE (Kupitia ukurasa wake wa facebook amaendika hivi.
"Nalaani vikali kabisa vurugu zilizotokea katika mdahalo wa Katiba. Tabia mbaya kabisa kuendekeza vurugu badala ya hoja. Mambo ya kihayawani. Shindana kwa hoja"

Usalama wa Mzee Warioba ukulindwa

Baadhi ya wahudhuriaji wakiwazua wenzao kutojibu mapigo jambo ambalo baadaye lilishindikana baada ya kuona wenzao wa upende wa pili hawataki kutulia ilibidi wawatoe mkuku ukumbini