Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Wednesday, November 5, 2014

MATOKEO DARASA LA SABA 2014 KWA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MANYONI, SAYUNI YAIBUKA KIDEDEA


Matokeo ya mtihani wa darasa la saba yametoka huku shule ya msingi Sayuni ikiendelea kupeta, katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani nchini inaonesha kuwa Shule hiyo ya Sayuni imeshika nafasi ya kwanza kiwilaya kati ya shule 102,  kimkoa inashika nafasi ya pili kati ya shule 491 wakati kitaifa shule hiyo imeshika nafasi ya 456 kati ya shule 15867.

                  KUONA  MATOKEO DARASA LA 7 2014 SHULE ZA MANYONI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment