Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, July 3, 2017

NIKKI WA PILI AYAKOGA MATUSI. SABABU NI NINI INGIA HAPA

Msanii wa muziki wa Bongo Hip Hop alivuruga katika mitandao ya kijamii. wananchi wamjia juu kutokana na tweet yake aliyoitweet katika akaunti yake. Msanii huyo ambaye kwa siku za hivi karibu amekuwa mtu wa kutoa nukuu mbalimbali katika akaunti zake za tweeter na instagram kuhusiana na masuala mbalimbali ya kijamii. Zamu hii ilikuwa ni katika elimu. Ni kama ameamua kuwashukia walimu juu ya utendaji wake. Hali iliyowaamsha wananchi na kuanza kumshambulia msanii huyo. Kwa lugha ya mtaani tunaweza kusema msanii huyu ni kama 'ameyatimba'.

Balaa lote hili limejitokeza katika ukurasa wa facebook wa Eat African Radio baada ya kuchukua nukuu hiyo na kuiweka katika ukurasa wao. Sasa komenti za wananchi kwa msanii huyo ni balaa. Kwa kifupi tumekuwekea hapa komenti chache.