Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Thursday, May 30, 2013

SHEREHE YA SEND OFF YA REGINA S. MAFFA ILIYOFANYIKA BASHNET-MANYARA TAR. 25/05/2013

Hii ni kwa ajili ya rafiki zangu na rafiki wa Regina ambao walipenda kuhudhuria sherehe za kuagwa [Send off] kwa Regina S. Maffa lakini kwa namna moja ama nyingine wakashindwa kuhudhuria. Basi tumeamua kuwaletea baadhi ya picha za sherehe hizo ili kujua kilichojili. Sherehe hii ya 'Send off' ilifanyika Nyumbani kwao Regina katika kijiji cha Bashnet-Babati mkoani manyara tarehe 25/05/2013

 Hapa tukiwa tumepumzika kabla hatujaelekea 
ukweni ambako send off itafanyika

 Hapa nikiwa na mama mzazi katika
viwanja vya ukweni tukisubiri shuguli kuanza

Hapa nikiwa na mpambe wangu Bw. Joreth kushoto

Nami nikiingia na wapambe wangu

Mama mkwe kulia, akimpokea mama mzazi kushoto
katikati wanaonekana kukumbatiana ni mzee wangu

 
Tukiendelea kuingia

 
Bi. Harusi mtarajiwa akiingia na wapambe wake

 
 Bi. Harusi mtaarajiwa {kulia} na mpambe
wake wakiingiia uwanjani

 
Muagwa aliyeshika mic, akitambulisha ndugu na jamaa


 Mdogo wangu, Waziri akitambulisha ndugu na jamaa
Baba mkwe akipiga cheers

Cheers ikiendelea



       
 Bi. Harusi mtarajiwa akikata keki huku mpambe wake
akihakikisha vipande vinakatwa kwa size ya
 midomo ya wageni wahudhuriaji

       
Baba mkwe akikabidhiwa keki na binti yake


 Mzee wangu akikabidhiwa keki na mkwe wake

         
Bi. harusi na mpambe wake wakimtafuta
Bw.Harusi mtarajiwa ambaye alifichwa kwelikweli

      
Hapa wamemuona jamaa, fataki inaandaliwa kulipuliwa
kama ishara ya kumuona wa moyo wake

Hapa tukilishana apple baada ya kuniona

Hao tukitoka mafichoni!

  
Tunaendelea kutoka

Tukielekea kwenye msosi

Bado tunaendelea kuelekea kwenye msosi

Tumefika tunapakia menu kama kawaida

Show kama kawa ilikuwepo ya kutosha tu

Show inaendelea
 Walinogesha ile mbayaa na show za kijanja

 Hapa baada ya kumaliza kula

 Hapa akiniambia jambo!

Nami nikitoa ya moyoni

      
 Wageni wakitoa zawadi zao

                                    
Baada ya hapo tulifunga na muziki kama kawaida

Mwenye suti, mdogo wangu Waziri, Katikati mzee mzima
mwenyewe, nyuma wife, pembeni hapo mama mzazi

********
MWISHO: Harusi itakuwa jijini Dar-es-salaam tarehe 15/6/2013, kama kawaida nawakumbusha michango  yenu ya hali na mali, kwa mawasiliano au kutuma mchango wako, Tigo Pesa : 0715 33 55 58 naM- Pesa : 0755 44 06 99. Tuwashukuru wote ambao wametuunga mkono kwa michango yenu na kushirikiana nasi hadi kukamilisha shughuli hii ya Send off, MUNGU awabariki sana.

No comments:

Post a Comment