Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Wednesday, June 18, 2014

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2014

Wanafunzi waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti kwenye shule walizopangiwa kuanzia tarehe 10 Julai 2014 na mwisho wa kuripoti ni tarehe 30 Julai 2014. Aidha, hakutakuwa na mabadiliko ya wanafunzi kubadilishiwa shule walizopangiwa, hivyo wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangiwa kama inavyoonekana katika matokeo haya.


WASICHANA SHULE ZOT BOFYA HAPA
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf

WAVULANA KUANZIA HERUFI A-L INGIA HAPA
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-A-mpaka-L.pdf

WAVULANA KUANZIA HERUFI M-Z INGIA HAPA

http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-M-mpaka-Z.pdf

No comments:

Post a Comment