Nawashukuru sana wajumbe wa kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi kwa kuniteua jina langu kuongoza katika team ya awali ya tano bora ya wagombea urais kupitia chama cha mapinduzi. Walitenda haki. Mungu awabariki sana. Namhurumia sana na namsamehe 70 x 7 aliyelikata jina langu katika tano bora ya wagombea urais kupitia CCM bila ya kutoa hata sababu moja kutoka kinywani mwake. Namuomba sana mwenyezi Mungu pia amsamehe. Ramadan Karim.
Unaweza ingia hapa katika akaunti yake kusoma zaidi Charles Makongoro Nyerere
No comments:
Post a Comment