Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Wednesday, February 13, 2013

HAYA NDIYO MAJIBU YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU MH. MULUGO KUHUSU MITIHANI YA KIDATO CHA SITA INAYOENDELEA NCHINI KOTE

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh. Mulugo alipokuwa akiulizwa na waandishi wa habari kuhusu mitihani ya kidato cha sita inayoendelea nchi kote tangu jumatatu ya tarehe 11/02/2013, haya yalikuwa majibu yake.
 
"Sina taarifa yoyote kuhusiana na kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita, kwasasa nipo kwenye kikao cha NEC, labda waulizeni waliopo DSM ofisini. Alipoulizwa zaidi aliendelea kusema mimi sijui kuhsuiana na mitihani ya kidato cha sita.
 
Chanzo: Ukurasa wa Dj Fetty
 

No comments:

Post a Comment