Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Tuesday, September 23, 2014

HIVI NDIVYO TULIVYOSHEREHEKEA KATIKA BIRTHDAY YA MTOTO WETU DAVID

My son, David alizaliwa tarehe 22/09/2013, mwezi huu wa 9, tarehe 22 alikuwa ndo anafunga mwaka, hivyo kama wazazi tuliamua kuandaa chakula cha jioni ili kujumuika na ndugu, marafiki na jamaa zetu ili kwa pamoja tuweze kuadhimisha siku hii muhimu katika familia yetu. Kwa ndugu, jamaa na marafiki ambao hawakuweza kufika kutoka na umbali au matatizo ya hapa na pale ambao walipenda wajumuike nasi lakini haikuwezekana, tumuona tuwaletee tukio zima katika picha, basi jumuika nasi kwa kuangalia picha hizi


 David na mama yake

                Baba D.


 Mwabeza akisoma neno la Mungu




 Baba David akiwakaribisha wageni


 Mama David akiwapungia mkono wageni 


 Mr. Prosper, ndiye alikuwa Dj. wa shughuli yenyewe


                                                                                       








 David akimlisha keki yake wa baba wa ubatizo, John Kimolo
         David akimlisha keki mama yake

   Akimmlisha keki baba yake

 Akimlisha keki bibi yake

 Akimlisha keki baba Enosh, (Mwl. Mwabeza)

















  Hii ndo familia, mama, dady, son












Tunakuombea kwa Mungu mtoto wetu David,uendelee kukua vizuri, akupe maisha mazuri na marefu, wazazi wako tunakupenda sana. Mungu akulinde.

Tunapenda kuwashukuru wote waliohudhuria katika shughuli ya kumpongeza mtoto wetu kwa kutimiza mwaka mmoja. Janeth Lubasi, Boniface Manyasa, Steven Mandia, familia ya Mwabeza, familia ya Madata, Moris Nyamwale, familia ya John Kimoro, familia ya Gwamaka, Sarah Mgulula, Maria Ntandu, Edward Mbuya, John Maghway, Mama Schola, Sylvery Hussein, Stewart Prosper, Elizabeth, Agnes, n.k. Tunawashukuru hawa wote kwa kuweza kutupa kampani ya kutosha katika siku hii muhimu ya mtoto wetu kutimiza mwaka mmoja. Mungu awabariki sana na awazidishie pale walipopungukiwa.

Familia ya Mr. & Mrs Furaha Venance Kaguo

No comments:

Post a Comment