Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Sunday, October 19, 2014

HUU NDO USHAHIDI MWINGINE UNAONESHA KUWA MISS TZ 2014 SITTI MTEMVU ALIDANGANYA KUHUSU UMRI

               JUU, LESENI YA UDEREVA INAONESHA KUWA ALIZALIWA TAR. 31/5/1989


HII NI PASSPORT YAKE YA KUSAFIRIA NAYO INAONESHA ALIZALIWA TAR.31/5/1989

Kumbuka kwamba miss huyo alidai kuwa anamiaka 18 na elimu yake ni kiwango cha shahada ya pili yaani Masters SOMA HAPA ZAIDI

No comments:

Post a Comment