Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, October 13, 2014

TAZAMA PICHA 96 SIKU YA MWALIMU DUNIANI ILIVYOFANA KIMKOA WILAYANI MANYONI

Siku ya Mwalimu Duniani hufanyika kila mwaka Octoba 5, kimkoa ilifanyika tarehe 10/10/2014, katika Wilaya ya Manyoni na Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Frederick Sumaye. Pata tukio zima katika picha

 Baadhi ya walimu wakijiandaa kwa maandamano

MAANDAMANO YAKAANZA



















 Waziri Mkuu akipokea maelezo kutoka kwa Mwalimu namna 
ya kutumia vifaa mbalimbali kufundishia masomo ya sayansi 




                       Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Manyoni akiteta jambo na mwalimu                                         
 Walimu wakijadili jambo


 Mgeni rasmi na viongozi wengine wakisubiri maandamano

 Maandamano yakiingia viwanja vya Jumbe














 Walimu wakijipanga kuimba wimbo wa mshikamano

 Mkuregenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni 
akifuatilia burudani kwa makini

BURUDANI IKIENDELEA





 Shehe akipiga dua kuombea sherehe

Mama Msongo akipiga sala kufungua sherehe

 Walimu wa Manyoni wakiingia kwa ajili ya kutoa burudani

 Wakijipanga vizuri

 Wakiimba




 Walimu wa wilaya ya Manyoni wakiimba shairi

 Mgeni rasmi akisikiliza kwa makini shairi likiimbwa

 Mwalimu akitoa burudani ya shairi

 Bendi nayo ilikuwepo kutoa burudani

 Huyu naye alikuwepo 

 Bendi ikiendelea kufanya yake

                                 Wanafunzi wa shule ya msingi Tambuka reli wakitoa burudani                                              

 Meza kuu wakiwasikiliza kwa makini buradani

 Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida akitoa neno

 Mwakilishi wa R.A.S akitoa neno



 Mkurugenzi wa wilaya ya Manyoni akitoa neno

 Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Manyara akitoa salamu za Manyara

 Mwenyekiti wa CWT  Mkoa wa Dodoma akitoa salamu kutoka Dodoma


 Afisa Elimu Secondari Manyoni, Bw. Timoth Benard 
akiwasalimia wananchi 

BURUDANI



 Kikundi cha sanaa cha maalbino kutoka Dar. wakitoa burudani

                                                                  PICHA YA PAMOJA



 Mgeni rasmi Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Frederick Sumaye na
 Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mama Fatuma Tawafiq na viongozi
 wenine wa CWT katika picha ya pamoja na kikundi cha sanaa cha albino

BURUDANI IKIENDELEA


 Kikundi cha sanaa cha akina mama kikitoa burudani

 MC Mwl. Salumu Mkuya akiwa na Katibu wa CWT Manyoni







 Mgeni rasmi Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Sumaye akiwahutubia
 walimu na wananchi wengine

 Mwenyekiti wa CWT Manyoni akisalimia walimu na wananchi
Katikati ni Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya
 Wilaya ya Manyoni Bw. Supeti, kushoto kwake ni 
Mkuu wa wilaya ya Manyoni Fatuma Tawafiq

Picha na Furaha Venance Soma zaidi HABARI HAPA

No comments:

Post a Comment