Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Tuesday, October 21, 2014

LUNDENGA AMKIMNGIA KIFUA MISS TZ 2014 ADAI UMRI WAKE NI SAHIHI, CHETI CHA KUZALIWA CHA MISS HUYO CHAZUA UTATA




Kamati ya Miss Tanzania yakata mzizi wa fitna Kwa Sitti Mtemvu? Cheti cha kuzaliwa kilichooneshwa chazua utata

Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga hii leo amezungumza na waandishi wa habari  juu ya sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti Abbas Mtemvu. Kujua zaidi alichosema Lundenga BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment