Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, June 27, 2016

MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WALIOACHWA



Wakuu wa Wilaya walioachwa na vituo vyao kwenye mabano ni Halima Kihemba (Kibaha), Betty Mkwasa (Mvomero), Muhingo Rweyemamu (Morogoro), Matthew Sedoyeka (Sumbawanga), Jacqueline Liana (Nzega), Benson Mpesya (Songea), Suleiman Kumchaya (Tabora) na Amani Mwenegoha (Bukombe).

Wengine ni Fatma Ally (Mtwara), Jackson Msome (Bukoba), Ramadhani Maneno (Chemba), Hafsa Mtasiwa (Korogwe), Pilly Moshi (Magu), Paul Mzindakaya (Busega), Shabani Kissu (Kondoa), Baraka Konisaga(Nyamagana), Francis Mwonga (Bahi), Gerald Guninita (Kasulu), Omar Kwaangw’ (Karatu), Novatus Makunga (Moshi), Farida Mgomi (Chamwino), Ponsiano Nyami (Bariadi).
Pia wamo Lephy Gembe (Kilombero), Dk. Jacqueline Tiisekwa (Dodoma), Bituni Msangi (Kongwa), Margaret Malenga (Nyasa), Sheni Ngaga (Mbinga), Chande Nalicho (Namtumbo), Agnes Hokororo (Tunduru), Hawa Ng’humbi (Kishapu), Wilson Nkhambaku (Arumeru), Ernest Kahindi (Longido), Francis Mitti (Monduli), Zainab Mlesi (Rungwe), Nyirembe Munasa (Mbeya) na Ahmed Namhone (Mbozi).

Katika orodha hiyo wamo Ziporah Pangani (Igunga), Estherina Kilasi (Muheza), Jowika Kasunga (Mufindi), Khanifa Karamagi (Gairo), Subira Mgalu (Kisarawe), Nurdin Babu (Rufiji), Crispin Meela (Babati), Abdallah Kihato (Mkuranga), Joshua Mirumbe (Bunda) na Ali Mohamed (Serengeti).
Lembris Kipuyo (Rombo), Manju Msambya (Ilemela), Saidi Amanzi (Singida), Lucy Mayenga (Iramba), Kanali Samuel Nzoka (Kiteto), Mahmood Kambona (Simanjiro), Dk. Michael Kadeghe (Mbulu), Yahya Nawanda (Lindi), Charles Gichuri (Ikungi), Christopher Magela (Newala) na Bernard Ndutta (Masasi).
Wengine ni Zuhura Mustapha Ally (Uyui), Khanifa Sirengu (Sikonge), Daudi Yassin (Makete), John Henjewele (Kilosa), Mariam Juma (Lushoto), Husna Msangi (Handeni), Peter Toima (Kakonko), Saveli Maketa (Kigoma).

Pia wamo Rosemary Kirigini (Maswa), Georgina Bundala (Itilima) na Erasto Sima (Meatu), Amina Lugaila (Mbogwe), Ibrahim Marwa (Nyang’wale), Abdulla Lutavi (Tanga), Ephraim Mmbaga (Liwale), Mariam Mtima (Ruangwa), Mariam Mohammed (Lushoto), Selemani Liwowa (Kilindi) na Mboni Mgaza (Kilindi).

No comments:

Post a Comment