Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Thursday, August 8, 2013

SOMA MEXICO

TANGAZO LA SKOLASHIPU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI YA MEXICO KWA TANZANIA KWA MWAKA 2014
 
Serikali ya Tanzania imepokea mwaliko wa Skolashipu kutoka kwa Serikali ya Mexico kwa mwaka 2014.

Wadau wote, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wenye sifa wanashauriwa wasome mwongozo na maelekezo kwenye Kiambatisho cha tangazo hili na kuyafanyia kazi.

Maombi yaliyokamilika yakiwa na nyaraka zote zilizoorodheshwa ukurasa wa pili kwenye Kiambatisho isipokuwa kipengele cha “Official nomination”, yawasilishwe Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kabla ya tarehe 20/08/2013 kwa anuani ifuatayo:-

Katibu Mkuu,
Wizara Ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S. L. P 9121,
DAR ES SALAAM

MAELEKEZO YOTE YAKO HAPA

http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=273&Itemid=385

No comments:

Post a Comment