Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, August 5, 2013

HENRY KILEWO AFUTIWA MASHTAKA YA UGAIDI, JOYCE KIRIA AUTAMANI UBUNGE

 
Kufuatia mume wake kufutiwa mashtaka ya Ugaidi sasa Joyce Kiria autamani Ubunge kupitia CHADEMA, hivi ndivyo alivyoandika katika ukura wake wa facebook;
 
Mlionishauri kwamba Mume wangu Henry akitoka nimshauri aache siasa, naomba niwaambie kwamba nimem join Mume wangu kwenye Siasa. pipooooooooooz
 
 
Hizi kesi zingine zinatufanya wengine tufanye maamuzi ya kujoin harakati...mke mwenzangu ana skafu na mie kombati... mtajuuuuuuuta kutugusa pabaya
 
"Mungu mkubwa sana mimi siyo mke wa Gaidi.... nipeni jimbo niwarudishie maumivu maana wamenigusa pabaya....."

 
Joyce Kiria ndani ya gwanda
 

No comments:

Post a Comment