Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Sunday, November 3, 2013

HABARI MPASUKO: SENGODO MVUNGI AVAMIWA NA KUJERUHIWA NA MAPANGA

Dr. Sengodo Mvungi ambaye ni mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba, mjumbe wa kamati kuu NCCR-Mageuzi na pia ni mhadhiri katika chuo kikuu cha Bagamoyo amevamiwa na kushambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa ni majambazi akiwa nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo, kwa sasa Dr. huyo mtalaam wa masuala ya sheria na katiba amelazwa katika hospitali ya Muhimbili akiendelea kupatiwa matibabu. Dr. Mvungi ameshambuliwa zaidi sehemu ya kichwani. tazama picha Dr. huyo akiwahishwa hospitali kwa matababu.
 
 
 
 
 
 
Picha kwa hisani ya mtandao wa mzuka kamili

No comments:

Post a Comment