Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Saturday, November 2, 2013

MWANANGU DAVID ATIMIZA SIKU 40, TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA JINSI TULIVYOIFURAHIA SIKU HIYO.

Siku ya ijumaa ya tarehe 01/11/2013 mwanagu David, alitimiza siku 40, tazama matukio katika picha jinsi tulivyofurahia siku hiyo, twende kazi sasa!
 
Akina mama wakiandaa msosi


Msosi ukiendelea kuandaliwa

Muda ukafika mtoto Davie akaanza kutolewa nje,
binti aliyesimama hapo mbele akiwa tayari kwa kumpokea mtoto
 

             Mtoto anatoloewa
 
Mama Davie [Wife] mwenye gauni la batiki
akisalimiana na dada [Mwalimu Epimack] atakayempokea mtoto
 mara baada ya kutolewa nje

Ndugu, jamaa na marafiki wakiwa tayari kwa kumpokea mtoto Davie
 

Mtoto katolewa kila aliyehudhuria alipata nafasi ya kumbeba mtoto
 
Picha zifuatazo mtoto Davie akipitishwa kwa kila muhudhuriaji






 
 

 D akimfurahia D mwenzake 
 
 Sasa mtoto akakabidhiwa mama mtoto
 
MC wa shughuli akisema neno hapo
 
Kutoka kulia  Baba D, mama D na MC Mr. Moris  
 
Kutoka kulia Baba D, mama D na MC Mr. Moris 
 
 
 
 
Burudani
 
baadhi ya wahudhuriaji wakifuatilia matukio kwa makini
 
 
Ukafika muda wa kupata chakula cha pamoja

 


 

 





Davie akiwa na bibi yake mara baada ya kurudi ndani
 
 
Asante Mungu, Asante Mama D kwa kunipa zawadi ya mtoto Davie, nakupenda sana Mwanangu Mungu aendelee kukukuza kiroho na kimwili. wazazi wako tunakupenda sana.
 
Nawashukuru ndugu, jamaa na marafiki waliojumuika nasi siku hii nzuri kwetu. MUNGU AWABARIKI SANA

No comments:

Post a Comment