Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Wednesday, July 3, 2013

HII NDO NGOMA YA VINEGA INAYOMCHANA LIVE RUGE JAMAA HADI WANAMUOMBEA JAMAA MABAYA

 
 
Hii ni ngoma kwa ajili ya Ruge na Crouds FM, humu kuna mistari ambayo jamaa wanamuombea RUGE afe, katika ngoma hii kuna mapacha, Dani Msimamo na jamaa mmoja ambaye nimeshindwa kujua ni nani aliyechana vesi ya kwanza. wametambaa kwenye beat ya X-plastaz song la ni Dhambi kwa mwenye dhiki na hili song ni dedication kwa RALPH NELLY wa X-Plastaz, jamaa wa mapacha humu anamwambia Nelly
 
 "Ukiwa karibu na Mwenyezi Mungu, Jaribu kumchana,
   kuwa huyu jamaa huku duniani anatugawa kifala..."
 
katika mstari mwingine jamaa wanaendelea,
 
 "..Mwambieni kama vipi amchukue tu Ruge
   Tatizo kubwa ni yeye kama vipi amuue.."




Kama vipi upakue hapa ngoma yenyewe, ili ujue kuwa jamaa wafunguka kivipi kuhusu Ruge, ni track kali kinoma, track nzima ni Ruge tu, hii hapa ;
 
                                        http://www.hulkshare.com/hassbaby#/0a75gou9y52t

No comments:

Post a Comment