
"Ukiwa karibu na Mwenyezi Mungu, Jaribu kumchana,
kuwa huyu jamaa huku duniani anatugawa kifala..."
katika mstari mwingine jamaa wanaendelea,
"..Mwambieni kama vipi amchukue tu Ruge
Tatizo kubwa ni yeye kama vipi amuue.."
Kama vipi upakue hapa ngoma yenyewe, ili ujue kuwa jamaa wafunguka kivipi kuhusu Ruge, ni track kali kinoma, track nzima ni Ruge tu, hii hapa ;
No comments:
Post a Comment