Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Thursday, July 25, 2013

MADAI YA MAMA SHAROMILIONEA KUDHULUMIWA MALI ZA MWANAE, HAYA NDIYO MAJIBU YA KITALE

Kitale Rais Wa Matejah
Kufuatia Mama mzazi wa marehemu Sharomilionea, kulalamika katika vyombo vya habari kuwa amedhulumiwa mali za mwanawe likiwemo gari, haya ndiyo majibu ya Kitale aliyekuwa swahiba mkubwa wa Sharo kwa watanzania na mama Sharo kupitia ukurasa wake wa facebook.

"Hii Ni Kwa Ajili Ya WATANZANIA WOTE: MaREHeMu sHaRo Milionea aliacha GARi aina ya OPA Naomba kuwambia Watanzania ILE gari aipo chini yangu mm Gari ipo Chini ya MUDY SUMA Ambaye ni mwenye Gari ambayo marehemu alipata nayo ajari Na MAMA Yake SHARO kulalamika kwenye vyombo vywa HABARI pia ni sawa na ni Haki yake kwa sababu mwenye gari ALIAHAIDI kusamehe gari yake ambayo marehemu alipata nayo ajari ila aliomba kukaa na gari ya marehemu kwa muda mfupi ili aweze kununua gari nyngne sasa kinachomshangaza mama MWaKa sasa UNakwenda gari aijauzwa wala nini kwa hiyo mama anaisi mm na mudy letu ni moja hapana mzazi wng mm nipo pamoja na wewe na WATANZANIA wote Naomba MUELEWe Hvyo gari sinayo mm..MAANa Kila MUaNdishi Wa Habari ANaniama MIMI"

No comments:

Post a Comment