Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Tuesday, January 8, 2013

TANZIA: Msanii maarufu wa Mchiriku, Omari Omar amefariki dunia. Omar aliyetamba na wimbo wake maarufu wa "Kupata ni Majaliwa"
(audio Video-->http://bit.ly/XgL0ez) alifariki nyumbani kwao Temeke, saa chache baada ya kurejeshwa toka hospitali ya temeke alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa. Kwa habari zaidi na kusikiliza wimbo wake, click link ifuatayo-->http://bit.ly/XgL0ez

Msanii wa Bongo Fleva hususani miondoko ile ya Mchiriku Omary Omary amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu, msanii huyo aliyewahi kutamba na kibao chake cha "KUPATA NI MAJALIWA" Taarifa zinasema kuwa Omary Omary ameaga dunia saa chache huko kwake TEMEKE MIKORISHINI mara baada ya kurejea kutoka hospitali ya TEMEKE aalikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.

Taarifa zaidi tutakuwa tukiwaletea kadili tutakavyozipata
 
RIP OMARY OMARY

No comments:

Post a Comment