Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Monday, September 23, 2013

EPUKA UTAPELI HUU

 
Matapeli hayo yamekuwa yakitumia account mbalimbali kama inavyoonekana hapa, wakitumia account ya Airtel Tanzania, huu ni utapeli, wala usikubali, hebu soma utapeli huo na chini yake kuna taarifa ya serikali kukana kuzitambua taasisi hizo, na usisahau kulike au kushare ili na rafiki, ndugu zako na jamaa waione hii wasiingie katika utapeli huu,
 
 
 
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU MIKOPO YA AINA HIYO
 
 
SHARE NA LIKE POST HII KWA WENGINE

No comments:

Post a Comment