Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Thursday, September 12, 2013

KAMA ULIKUWA HUJUI, HII NDO SABABU ILIYOMWONDOA MCH. PETER MSIGWA, TLP

Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Piter Msigwa amefunguka kupitia ukurasa wake wa facebook na kueleza kile kilichomfanya kuachana na Mrema na TLP yake, hiki ndicho alichoandika, na kufuatia na picha chini ya maelezo haya:
 
Enzi za TLP NA BWANA Lyatonga ,IRINGA MJINI 2005,nikinadiwa nilipogombea ubunge kwa Mara ya kwanza, KWA SASA AMEAMUA KUWA MPAMBE WA CCM,NILIACHANA NAYE 2006 ,baada ya kuona mbele Giza
 
 

No comments:

Post a Comment