Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Sunday, September 29, 2013

MUZIKI WETU UNA MATUKIO MENGI SANA SANA!!!

MUZIKI  WETU  UNA MATUKIO  MENGI SANA  SANA!!!

    Kama miaka 2  iliyopita  hivi kulikuwa  na  show  ya  X -MASS  MWANZA!!  aaaf kesho yake  26th  ilikuwa  MUSOMA!!  ilikuwa  ni  mimi  na belle 9  na band  fulani hii ya wakongo!!!

  Sasa kiufupi tu ile  show ya 25th ya  X -MASS pale  GOLD CREST  MWANZA  ilifeli hivi(obvious haikutangazwa so wakaifelisha wenyewe waandazi)!!
 lakini sisi mtonyo wetu tulikuwa tumeshabeba bfr!! 

    So  kutokana na hali  ile  yule  big boss akatutengenezea  picha  fulani  hivi  asubuhi ya kesho  yake  tulipoamka  tu!!

  Yeye  alitaka  tukafanye  show  ya bure  musoma  kesho yake  kama kulipizia  show  yake  ya  mwanza  iliyofeli.....
TULIPOKATAA    jamaa  akatumia  UTARIME  WAKE/ UBABE  NA  KUJUANA  NA  WADAU WA MWANZA  AKATUITIA  POLICE  ASUBUHI PALE  HOTELINI...anajua  mwenyewe  alivyowapiga  kiswahili  askari  hadi  wakajaa!!

  Wana  tukabebwa  nini..... haoooooo    hadi  kituoni!!! 
 Sasa  kwakuwa  jana  yake  ilikuwa sikukuu, basi  walikuwa wamekamatwa vijana wengi sana  kwa makosa mbali mbali wakiwa mahabusu ya pale......

   Aisee  vile  tunafika  tu  tunaambiwa  aya  vua  mikanda/viatu/ aaaf ingieni  kule  kwa  wenzenu!!!
sasa  mle  ndani  nikipatazama  na mwanangu belle  9  naona  zile  mbavu mule...duuuh!!!  moyoni sasa nawaza  itakuwaje  kule  ndichi!!

 Aaaf sasa  kiukweli  mm sikuwa na wasi wasi kuhusu mimi,   kiukweli!!  coz  najua  kule wanangu  wanaonielewa na muziki wangu  watakuwa wengi tu lazima!!

 Sasa  wasi wasi    nikawa ninao  kwa  bele 9(watamuelewa??!!)!!  aaf tukiwa  tupo  pale  kaunta  tunaandikisha  maelezo  kule  ndani wana  wakaanza  kuongea

  "aisee  rire  si  riroma  riree..." 
 mwingine  anajibu
 "ee riko  na ribere naini asee  itakuwa  wameshazingua" 
 
wakaedelea  kusema  kwa  sauti  
" wana  msijari  karibuni  humu ni kwa kira  mtu  juzi tu  turikuwa  naa ritwente  pasenti  na daz baba, huku  ni kwa  wote"

Daahh apo tunaandikisha  maelezo  tuna hasira  na  police  wote  wamekaza kama hawatujui...na yule boss  sijui  aliwapanga  vipi  hadi  jamaa wakatukazia  vile!! 
 basi  kuna  police  flani  wa kike  mjeuri  huyo  akamtazama  belle 9  kwa  dharau  aaf akauliza wee jina  lako  nani? anamuuliza  belle  kwa  sauti...

basi  nikasikia  voko  moja  imetoka  mle  ndani  mahabusu....

  "issshhh  ritazame  rire  ridemu  ris....(tusi) eti anauriza belle  9   ni  nani, akati  simu yake  rimejaza  majimbo  yake, yani we dada ni  mus.....(tusi)"

 duuuh  tukamalize  wana tukawa  tunaingia  ndani!!  basi  kufika  tu  tunaingia  kuna  mwana  nakumbuka  akamdaka  belle  fasta  na kumkazia  eti  amvulie culture  fulani  hivi  belle alivaa mkononi!
 belle  akamkazia  aaf wakaanza kupandishiana  pale pale  huyu  akitukana  belle  kajibu nayeye...daaah  nikasema  yeeees  mtoto wa moro  ninja kweli!!

 Basi  kuna  wana  mle  ndani wakaanza zile za "oya  kausheni  kausheni  hawa  wana mjue,  haya  ndiyo  majembe, oyaa  mkatoriki eeee  tulia  apo  chini  msijali  apa  amani  tu!!(hao  wana  wawili  waliokuwa  na sauti  mle  ndani  ya kuweza kuwatuliza  woote  aisee sisahau  sura  zao  hadi  leo, maana walituelewa  sana!!)
 basi tukatulia...

   Huku  nyuma sasa report zimewafikia  wana,  maana jana yake  sikukuu so  mwanza kulikuwa na show  kama nne  hivi sehemu tofauti!!
 alikuwa izzo b, linna,tunda, tip top wote... basi  fasta  pale  kituoni  akaja  madee/barnaba na wana kibao  kuja kujua  kinachoendelea....


   Sasa  mle  ndani aisee kwa haraka  haraka  tulikuwa  sio chini  ya 20 aisee na  zaidi  nahisi,  yani tumebanana sana!!  
asa  kuna  muda  nimekaa  nimesizi  nawaza  tuuu   tunafanyaje  hapa...
basi  nasikia  wana wanaambiana 

"apo  riroma  rinatunga  sheria  apo  rikitoka  nheeee utasikia  ritatoa  kama  ireee  dokta  anakunywa  varuuu...aisee ire  ni kariiii"

     aaf  ananiinamia  ananambia  "ivi pare  uriwazaga  nini  jembe"?  
sasa  mm  si  unajua  nina  mastress    yangu naona  kama anazingua  ivi  ananirushia...ila  ili  niende  nao  sawa inabidi nimjibu...hhhahahahhahahah!!

    Jamaa  mwingine  mara  achungulie  nje  anamuona barnaba  kaunta  akiongea  na  maaskari...anamwambia 
   
" wee banaba wee njoo uwatoe  wana apa, watarara  hapa  hawa  ohooo!! aisee  ira  kabanaba  ni kafupi jamani..."
  yaani ikawa  mwana anamix sana  stori  daah!! kucheka nataka  huku nawaza  mengi!! 
 aaaf  unajua  kuna  zile  mnakaa  aaaf mnagonganisha  macho  mimi  na mwanangu belle aaaf  kama mnaongea kwa ishara  ivi....daah!!!

  Kuna mwana nakumbuka  akanitazamaaaaa  aaaf akasema 
 "ira  riroma  rinaonekana  rijembe" 

 aliposema  ivo  belle  kama naye  akamtazama  kwa kumkazia  ivi  uso wa mbuzi...basi  mwana nikamsikia  tena  eti   "iraa  nyinyi  nyote  majembe  tuuu"
 hahahahha belle   alinicheki  aaf aka-smile  ivii!! 

 nakumbuka  vitu wlivokuwa wakisema mle  ndani.....
 "ira  bere  ire  ngoma sijui  masogange iree naikubariiii sana,
  aaaf  jamaa anaanza kuiimba, sasa akiimba  utacheka aisee...

aaaf anaacha kuimba  anasema " ira  we  dayamondi  hakuwezi wewe...kisha  wanaanza  kubishana  wao  kwa  wao" 

    Aisee mle ndani  kuna watu  wana majanga  nyinyi  daaah!!  kuna  wana yani unakuta  sura  nzima  ana alama  za mapanga  tu  humtazami mara  2, aaaf yeye anakukazia  jicho  tu kinoma  noma!!...

   Baadae  kdg  kuna mwarabu/msomali aliletwa na yeye..basi  vile  anaingizwa  tu na lango kufungwa  daah walimnyang'anyia  kama mpira wa kona!! jamaa alipigwa  ngumi/mateke  fasta  akavuliwa shati  wakalizuia  jamaa!!   nikasema yeees,  wana kweli sisi walituelewa  kama hali  zenyewe  ndiyo  hizi!!! 
 karibu mahabusu  hiyo inaitwa!!!

"eti aisee roma nauza frash  we ukitoka nitoe buku mbiri tu hii frash ina kirakitu ndani"........ hahaha sasa  eti flash  inauzwa aaf ina kila kitu sasa badala iwe empty yeye anasema ina kila kitu...

  NWAYS  yalitokea mengi sana  mle  ndani  hadi tunaletewa msosi  mchana, na wana wakatuzunguka wakisema tunawalinda mle  kwa amani.. na  tukaenjoy  nao sana kuwa nao  kwa  muda ule  wa masaa sio chini ya  matano!!

Finally  tulikuja  toka  kwa  masharti...na  kila  kitu  kikawekwa sawa....sasa  baadae  usiku  tumetulia hotel  na belle 9  ndio  tunaanza  kukumbushiana  sasa  story  za kule..cheka  sana...tukagonga  macheers nini....ikabaki  mumbukumbu  tuu!!

Juzi  nilikutana  na  mwana  mmoja  wapo (GEITA  KWENYE  SHOW)ni  mwana mmoja kati ya  wale  tuliokuwa  ndani siku  hiyo!!  TULICHEKA  NA KUENJOY  PAMOJA!!!

(PICHANI  NI  MASAA KADHAA  BAADA  YA  KUWA  HURU)!!

-Nikijaga  kuyaimba  haya kwenye  ngoma  zangu  naambiwa  NAKUSANYA  HABARI  ZA KITAIFA  NA KIMICHEZO...HAHAHHAHAHAHHAHAHH  BONGO BANA!!!


"Wakati  mwingine  tunachukuliana  poa  ila tuna nguvu sana  kwa  mtaa/ tunapendwa  sana/tuna  face  a lot  of  troubles"...bt  we  still  kip t real...ONE!!!Roma ameamua kushare nasi story yake, kupitia ukurasa wake wa facebook, ameandika hivi, "Kama miaka 2 iliyopita hivi kulikuwa na show ya X -MASS MWANZA!! aaaf kesho yake 26th ilikuwa MUSOMA!! ilikuwa ni mimi na belle 9 na band fulani hii ya wakongo!!!

Sasa kiufupi tu ile show ya 25th ya X -MASS pale GOLD CREST MWANZA ilifeli hivi(obvious haikutangazwa so wakaifelisha wenyewe waandazi)!!
lakini sisi mtonyo wetu tulikuwa tumeshabeba bfr!!

So kutokana na hali ile yule big boss akatutengenezea picha fulani hivi asubuhi ya kesho yake tulipoamka tu!!

Yeye alitaka tukafanye show ya bure musoma kesho yake kama kulipizia show yake ya mwanza iliyofeli.....
TULIPOKATAA jamaa akatumia UTARIME WAKE/ UBABE NA KUJUANA NA WADAU WA MWANZA AKATUITIA POLICE ASUBUHI PALE HOTELINI...anajua mwenyewe alivyowapiga kiswahili askari hadi wakajaa!!

Wana tukabebwa nini..... haoooooo hadi kituoni!!!
Sasa kwakuwa jana yake ilikuwa sikukuu, basi walikuwa wamekamatwa vijana wengi sana kwa makosa mbali mbali wakiwa mahabusu ya pale......

Aisee vile tunafika tu tunaambiwa aya vua mikanda/viatu/ aaaf ingieni kule kwa wenzenu!!!
sasa mle ndani nikipatazama na mwanangu belle 9 naona zile mbavu mule...duuuh!!! moyoni sasa nawaza itakuwaje kule ndichi!!

Aaaf sasa kiukweli mm sikuwa na wasi wasi kuhusu mimi, kiukweli!! coz najua kule wanangu wanaonielewa na muziki wangu watakuwa wengi tu lazima!!

Sasa wasi wasi nikawa ninao kwa bele 9(watamuelewa??!!)!! aaf tukiwa tupo pale kaunta tunaandikisha maelezo kule ndani wana wakaanza kuongea

"aisee rire si riroma riree..."
mwingine anajibu
"ee riko na ribere naini asee itakuwa wameshazingua"

wakaedelea kusema kwa sauti
" wana msijari karibuni humu ni kwa kira mtu juzi tu turikuwa naa ritwente pasenti na daz baba, huku ni kwa wote"

Daahh apo tunaandikisha maelezo tuna hasira na police wote wamekaza kama hawatujui...na yule boss sijui aliwapanga vipi hadi jamaa wakatukazia vile!!
basi kuna police flani wa kike mjeuri huyo akamtazama belle 9 kwa dharau aaf akauliza wee jina lako nani? anamuuliza belle kwa sauti...

basi nikasikia voko moja imetoka mle ndani mahabusu....

"issshhh ritazame rire ridemu ris....(tusi) eti anauriza belle 9 ni nani, akati simu yake rimejaza majimbo yake, yani we dada ni mus.....(tusi)"

duuuh tukamalize wana tukawa tunaingia ndani!! basi kufika tu tunaingia kuna mwana nakumbuka akamdaka belle fasta na kumkazia eti amvulie culture fulani hivi belle alivaa mkononi!
belle akamkazia aaf wakaanza kupandishiana pale pale huyu akitukana belle kajibu nayeye...daaah nikasema yeeees mtoto wa moro ninja kweli!!

Basi kuna wana mle ndani wakaanza zile za "oya kausheni kausheni hawa wana mjue, haya ndiyo majembe, oyaa mkatoriki eeee tulia apo chini msijali apa amani tu!!(hao wana wawili waliokuwa na sauti mle ndani ya kuweza kuwatuliza woote aisee sisahau sura zao hadi leo, maana walituelewa sana!!)
basi tukatulia...

Huku nyuma sasa report zimewafikia wana, maana jana yake sikukuu so mwanza kulikuwa na show kama nne hivi sehemu tofauti!!
alikuwa izzo b, linna,tunda, tip top wote... basi fasta pale kituoni akaja madee/barnaba na wana kibao kuja kujua kinachoendelea....


Sasa mle ndani aisee kwa haraka haraka tulikuwa sio chini ya 20 aisee na zaidi nahisi, yani tumebanana sana!!
asa kuna muda nimekaa nimesizi nawaza tuuu tunafanyaje hapa...
basi nasikia wana wanaambiana

"apo riroma rinatunga sheria apo rikitoka nheeee utasikia ritatoa kama ireee dokta anakunywa varuuu...aisee ire ni kariiii"

aaf ananiinamia ananambia "ivi pare uriwazaga nini jembe"?
sasa mm si unajua nina mastress yangu naona kama anazingua ivi ananirushia...ila ili niende nao sawa inabidi nimjibu...hhhahahahhahahah!!

Jamaa mwingine mara achungulie nje anamuona barnaba kaunta akiongea na maaskari...anamwambia

" wee banaba wee njoo uwatoe wana apa, watarara hapa hawa ohooo!! aisee ira kabanaba ni kafupi jamani..."
yaani ikawa mwana anamix sana stori daah!! kucheka nataka huku nawaza mengi!!
aaaf unajua kuna zile mnakaa aaaf mnagonganisha macho mimi na mwanangu belle aaaf kama mnaongea kwa ishara ivi....daah!!!

Kuna mwana nakumbuka akanitazamaaaaa aaaf akasema
"ira riroma rinaonekana rijembe"

aliposema ivo belle kama naye akamtazama kwa kumkazia ivi uso wa mbuzi...basi mwana nikamsikia tena eti "iraa nyinyi nyote majembe tuuu"
hahahahha belle alinicheki aaf aka-smile ivii!!

nakumbuka vitu wlivokuwa wakisema mle ndani.....
"ira bere ire ngoma sijui masogange iree naikubariiii sana,
aaaf jamaa anaanza kuiimba, sasa akiimba utacheka aisee...

aaaf anaacha kuimba anasema " ira we dayamondi hakuwezi wewe...kisha wanaanza kubishana wao kwa wao"

Aisee mle ndani kuna watu wana majanga nyinyi daaah!! kuna wana yani unakuta sura nzima ana alama za mapanga tu humtazami mara 2, aaaf yeye anakukazia jicho tu kinoma noma!!...

Baadae kdg kuna mwarabu/msomali aliletwa na yeye..basi vile anaingizwa tu na lango kufungwa daah walimnyang'anyia kama mpira wa kona!! jamaa alipigwa ngumi/mateke fasta akavuliwa shati wakalizuia jamaa!! nikasema yeees, wana kweli sisi walituelewa kama hali zenyewe ndiyo hizi!!!
karibu mahabusu hiyo inaitwa!!!

"eti aisee roma nauza frash we ukitoka nitoe buku mbiri tu hii frash ina kirakitu ndani"........ hahaha sasa eti flash inauzwa aaf ina kila kitu sasa badala iwe empty yeye anasema ina kila kitu...

NWAYS yalitokea mengi sana mle ndani hadi tunaletewa msosi mchana, na wana wakatuzunguka wakisema tunawalinda mle kwa amani.. na tukaenjoy nao sana kuwa nao kwa muda ule wa masaa sio chini ya matano!!

Finally tulikuja toka kwa masharti...na kila kitu kikawekwa sawa....sasa baadae usiku tumetulia hotel na belle 9 ndio tunaanza kukumbushiana sasa story za kule..cheka sana...tukagonga macheers nini....ikabaki mumbukumbu tuu!!

Juzi nilikutana na mwana mmoja wapo (GEITA KWENYE SHOW)ni mwana mmoja kati ya wale tuliokuwa ndani siku hiyo!! TULICHEKA NA KUENJOY PAMOJA!!!

(PICHANI NI MASAA KADHAA BAADA YA KUWA HURU)!!

-Nikijaga kuyaimba haya kwenye ngoma zangu naambiwa NAKUSANYA HABARI ZA KITAIFA NA KIMICHEZO...HAHAHHAHAHAHHAHAHH BONGO BANA!!!


"Wakati mwingine tunachukuliana poa ila tuna nguvu sana kwa mtaa/ tunapendwa sana/tuna face a lot of troubles"...bt we still kip t real...ONE!!!"

No comments:

Post a Comment