Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Thursday, October 31, 2013

UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA, LAKINI PIA HUARIBU MUONEKANO WA SURA YA MTU, TAZAMA MUONEKANO WA SURA ZA MAPACHA WANAOFANANA SANA MMOJA AKIWA ANAVUTA SIGARA NA MWENGINE HAVUTI.


Uvutaji wa Sigara ni hatari kwa afya, lakini pia uvutaji wa sigara huaribu muonekano wa mtu, mtu anaweza kuonekana kuwa ni mzee au ana umri mkubwa kutokana na athari za uvutaji wa sigara, utafiti watafiti wamefanya utafiti wa pacha 70 zinazofanana lakini mmoja akiwa anavuta sigara na mwingine akiwa hatumii, majibu yamejionesha kuwa yule anayevuta sigara anaonekana ana umri mkubwa kuliko umri wa pacha mwenzake asiyevuta. picha hiyo juu inathibitisha hilo, tazama mwenye muonekana wa pacha asiyevuta na mwenzake anayevuta.

Chanzo: Mail Online

No comments:

Post a Comment