Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Blog ya kijanja kwa ajili ya watu wajanja

Saturday, August 15, 2015

MAKONDA AMLIPUA MAGHUFULI


Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Bwana Paul Makonda amlipua Maghufuli. Sakata hilo limetokea usiku huu katika mashaindano ya kutafuta vipaji katika Wiliya hiyo. Alichokisema kuhusiana na Maghufuli, tunanukuu; 

"Mh. Rais nisingependa kuzungumzia swala la barabara kwa sababu swala hili limeshaundiwa tume. Lakini wananchi wanafahamu namna magari yao yanavyoharibika kutokana na barabara zinazojengwa chini ya kiwango." Mwisho wa kunukuu.

Ikumbukwe kuwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia ujenzi wa barabara ni Waziri wa Ujenzi Bwana Maghufuli ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya CCM. Hili likipokelewa na wapinzani wake laweza kumharibia Maghufuli. We unaonaje kwa hili?


No comments:

Post a Comment